Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa

Huawei

Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa.
Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inaishtaki Samsung kupitia mahakama mbili moja ikiwa California na nyengine ikiwa Shenzhen.
Kulingana na Huawei,simu zake kadhaa pamoja na programu zake ilizobuni zimetumiwa katika simu za Samsung bila ruhusa yake.
Samsung imeambia
BBC itatetea maslahi ya bishara zake.
Hatahivyo programu zinazodaiwa kuibwa na Samsung hazijatangazwa.



Posted via mwanzaniani.blogsport.com

Comments